GOD LOVES YOU/MUNGU ANAKUPENDA

Yohana 3:16 "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele."

John 3:16 "For God so loved the world that he gave his one and only Son, that whoever believes in him shall not perish but have eternal life.

Thursday, August 30, 2012

Hekima fupi kutoka kwa Mch kiongozi J Gwajima:


kuna mambo manne ili mtu aweze kufanikiwa kwa kingeleza ni 'Break-through'
1. Maarifa
Ukiwa na maarifa aidha ya neno la Mungu au elimu ya kawaida yatakusaidia kupita kwenye eneo ambalo wengine hawawezi kupita, maarifa ni kitu muhimu sana kwenye maisha. elimu ya Neno la Mungu, ufundi au elimu ya darasani. ' mshike sana elimu usimwache aende zake.

2.
Ishi vizuri na watu:
kuishi na watu ni vizuri kwasababu inakutengenezea njia ya kupita, biblia inasema Yesu alikuwa katika hekima na kimo akimpendeza Mungu na wanadamu. kumbe kuwa na mwonekano mzuri mbele ya watu ni jambo zuri kwaajili ya mafanikio.

3. Tabia njema:
mtu anaweza kuwa na maarifa na kipawa lakini akikosa tabia njema hawezi kufanikiwa. mfano mtu ni mwimbaji kaitwa mahali kuimba watu wakapenda lakini tabia ikiwa mbaya hata kile kipawa au elimu yake itadharauliwa.

4. Mpende Mungu kila wakati hata kama hakuna anaye kuuona:
hii ni hatua ya juu sana katika kuumjua Mungu ndio inaitwa kuwa na hofu ya Mungu kwa lugha nyingine ni kumcha Mungu. hii ndio chanzo cha haya mengine biblia inasema 'kumcha Mungu ndio chanzo cha maarifa' na hili jambo ni sahihi.. tenda yanayompendeza Mungu bila kuanfalia nani anakuona!

barikiwa sana............!!!!!

Wednesday, August 29, 2012

Pastor Dr. Dag Heward Mills: A Father is A Rare Gift

For though ye have ten thousand instructors in Christ, yet have ye not many fathers: for in Christ Jesus I have begotten you through the gospel.
1 Corinthians 4:15


The gift of a “father” is a rare gift. Not every man of God is a father. Not everyone who teaches the Word of God is a father. Not all the visiting preachers and teachers were fathers.

Not every prophet is father and Paul pointed this out to the Corinthians.

There will be many people who will make an input into your life. Instructors and teachers abound but these are different from fathers. A father’s input is comprehensive. A father gives you a complete package that goes further than a good teaching. A teacher is concerned about giving a good lesson. A prophet is concerned about ministering the power of God through visions, dreams and words of knowledge. But a father is concerned with your total welfare.

Because fathering involves much more, there are not many fathers! It is easier to go through the prepared notes than it is to give total care. People can be so difficult and so ungrateful that only fathers can handle them over the long term.

There are many, many pastors, evangelists and prophets, but a fathering prophet–who can find? That is why Paul said: “You can have ten thousand instructors but you do not have many fathers.”

The key characteristic of a father is not his age but his ability to produce after his own kind. Contrary to some opinions, there are many young people with a father’s heart.

In the natural, people often become fathers at a young age. The proof of fatherhood is in the children who are produced by the father. It takes love, commitment and patience to bring up children. In the end, the children attest to your fatherhood.

In the natural, people often become fathers at a young age. The proof of fatherhood is in the children who are produced by the father. It takes love, commitment and patience to bring up children. In the end, the children attest to your fatherhood.

The fathering spirit is that thing which causes a man of God to produce people just like himself in the ministry. Very simply put, the fathering gift is a manifestation of God’s love. It takes love to bring up people who don’t understand what is being done for them.

It takes love to bring up people who will not understand you for many years. Truly, God sends many, many teachers who minister to our lives. They will minister the lessons and the points that make up the doctrine. But a father will go many steps further. In addition to teaching you, he will minister the love and the patience that are needed to bring you into God’s perfect will.

Idealism in a minister makes him look for perfection all the time. Idealists and perfectionists are not usually good fathers. They often do not appreciate that the grace of God is working slowly in someone’s life. They insist on perfection all the time and that is not possible with human beings.

You can receive a man of God as a teacher. You can also receive him as a pastor. You may receive a man of God as a prophet or evangelist. It is also possible to receive him as a father.

May you find a father in this life! May you receive the capacity to love and to become a father yourself!

source: http://www.daghewardmills.org/blogg/tag/large-crusades/page/3/

Pastor Chris Oyakhilome: The Right Time to Date

Question 6 – William (South Africa): Dear Pastor, thank you for answering our questions online. I’m a first year student, I’d like you to share your views and thoughts on dating. When is it the right time?


Answer 6: The right time is when you become responsible. Now, when your parents are responsible for your education and responsible for everything you do, you are not responsible, so why go dating? Dating is really the idea that you are fixing certain times to get to meet someone and know that person, get to learn about that individual, and so that’s what it is. So, if you are deciding that “okay, I want to do this,” because you don’t just date, you date for a purpose, you are hoping to get married to that person if everything is right and during that dating period you are wanting to find out whether she is alright [or] is he alright? So, you would only begin dating when you are responsible, but there is more.

Now, usually dating is something that should be done when you know the right direction to go. But, in the world, it is done as “I am trying to find out, I am trying to know if this is the right person for me;” that’s what it is generally in the world: “I am trying to find out whether she is nice, whether she is good, whether she is okay for me, and if I think so then I go ahead and say well this might be the person I want to marry.” But, in Christ, things are the other way; we don’t try to find out by dating first. We know first and date after, [see?] We don’t date to try and find out if you are right after; we know first that you are right and then we date. That’s the difference. So, it means you have to have the kind of understanding, spiritual understanding and maturity to make the right decision, or even better, decisions are made for you.

Now, let me explain this to you: in the book of Genesis, we have two brothers by the names of Esau and Jacob, and in the bible, it tells us that these things were written for us for our learning and it is important for us to know how things ought to function in the kingdom of God. First, we talk about Abraham. Abraham was married to Sarah for many years, and they had no child until the Bible tells us that God visited Sarah after He had made a promise to Abraham, and He said “I am going to bless you and make you a blessing and your seed shall be the source of blessing to all nations.” [Genesis 12:2] He was saying there He was going to bring forth the Christ. Now, there are several other scriptures along with this but it does tell us that from then on Abraham became a special person [Genesis 17]. The Bible tells us that he entered into a covenant with God, so he was no longer an ordinary person – ordinary man. He was a man who was a friend of God; he was in a covenant relationship with God, and that meant that everyone in his lineage became a special person, because the promise was made to Abraham and his seed.

Now, his son Isaac was going to get married and what did Abraham do? He didn’t say “Isaac, which of the young girls around you do you like?” He didn’t say that. He sent his most senior servant to go and get a wife for Isaac, and Eleazar the servant of Abraham travelled this long journey, [Genesis 24] and he (Eleazar) prayed to God, He said “Please send your angel to guide me, send your angel to guide me to get a wife for my master’s son Isaac.” Now, why was that so important? Because Isaac was in the covenant, so it mattered who he was going to get married to.

Then Isaac had these two boys Esau and Jacob. Esau liked the young girls that he saw; he dated those that he liked. Now, let’s see what happened. From Genesis 28:1-7 “And Isaac called Jacob, and blessed him, and charged him, and said unto him, Thou shalt not take a wife of the daughters of Canaan. Arise, go to Padanaram, to the house of Bethuel thy mother’s father; and take thee a wife from thence of the daughers of Laban thy mother’s brother. And God Almighty bless thee, and make thee fruitful, and multiply thee, that thou mayest be a multitude of people; And give thee the blessing of Abraham, to thee, and to thy seed with thee; that thou mayest inherit the land wherein thou art a stranger, which God gave unto Abraham. And Isaac sent away Jacob: and he went to Padanaram unto Laban, son of Bethuel the Syrian, the brother of Rebekah, Jacob’s and Esau’s mother. When Esau saw that Isaac had blessed Jacob, and sent him away to Padanaram, to take him a wife from thence; and that as he blessed him he gave him a charge, saying, Thou shalt not take a wife of the daughers of Canaan; [Esau heard it, Esau saw that Jacob obeyed his father] And that Jacob obeyed his father and his mother, and was gone to Padanaram;”

Let me take it through again; I want you to listen to this. Isaac calls his son Jacob after he [Jacob] had received the blessing of Abraham, and he said…now, remember at this time, Jacob had received the blessing and Esau had missed the blessing and the Bible does tell us something about Esau. It says that Esau was profane; that, you find in the book of Hebrews 12:16. It says that Esau was profane; that means that he didn’t regard spiritual things, so including when he wanted to get married, he just did it the way other guys did. But, Isaac was careful about Jacob, and he called Jacob to him[self] and said “I don’t want you to marry from here. Don’t marry the daughters of Canaan.” He told him exactly where to go. He told him exactly which family to go to and the daughters of the particular man. He said “Go and marry from there.” He gave him specific directions, saying “Here is where I want you to go.” Why? Because of the blessing! And, when he said all of that to him, he said “And the Lord give you this blessing of Abraham to go with you.” That’s so important and the Bible says that Esau, Jacob’s brother, was watching; he heard it, he heard the instruction, [he was already married] he heard the instructions given to Jacob and then in verse 7 the bible says “And that Jacob obeyed his father and his mother, [Esau saw that Jacob had obeyed his father and went to Padabaram; now, let’s listen to verse 8]… And Esau seeing that the daughters of Canaan pleased not Isaac his father; Then went Esau unto Ishmael, and took unto the wives which he had Mahalath the daughter of Ishmael Abraham’s son, the sister of Nebajoth, to be his wife.” He had to add to what he had already had, because he had married from among the daughters of Canaan, and he married two ladies. Let me read what the bible says about them, in Genesis chapter 26 and from verse 34 “And Esau was forty years old when he took to wife Judith the daughter of Beeri the Hittite, and Bashemath the daughter of Elon the Hittite: [verse 35, talking about these two ladies]Which were a grief of mind unto Isaac and to Rebekah.” [Genesis 26:34-35] These wives of Esau were a grief of mind to Esau’s parents, the two of them.

Now in chapter [I want to show you something here] 27, reading from verse 46, listen to what Rebekah said “And Rebekah said to Isaac, I am weary of my life because of the daughters of Heth: if Jacob take a wife of the daughters of Heth, such as these which are of the daughters of the land, what good shall my life do me?” [Genesis 27:46] She was, she felt so terrible and she said “look, we can’t allow Jacob to make the same mistake,” the mistake that was made by Esau, and that’s why the Bible tells us where we were over reading in chapter 28 and from verse 6, that Esau saw that his father instructed Jacob as to where to go to get married and which particular family to go to get married, and that he blessed him with the blessing of Abraham, and he also noted that Jacob obeyed his father and went to where he was sent to get married, and he wished he’d changed. He [Esau] wished he had another chance. So, now what he did was he, over in verse 9, went to the family of Ishmael, he got closer now and got married to…the Bible says “he took unto the wives which he had [added onto the ones he had] Mahalath the daughter of Ishmael Abraham’s son…” That didn’t change anything anyway, because the blessing had already been given to Jacob, and he went again on his own and got a third one.

So, it’s very important that we understand that, for us Christians, we are not going around trying to date to find out whether this is right for us. We know what is right first before we say “Okay this is what I am going to do.” So, we need to be guided spiritually; we need to be guided. We must always have the consciousness of our calling in mind; as Jacob was instructed, he had the consciousness of his calling in mind. [We have to get some form of guidance] That’s not to say it must come from the parents. The reason this was important coming from the parents was because Isaac the father of Jacob was the one who had the promise; he had the blessing, and he had also been instructed by his father Abraham the same way. The most important thing here is to have the guidance of God, spiritual guidance. This is most important, and Jacob had that spiritual guidance from Isaac his father, because he [Isaac] was a prophet, even though he was Jacob’s father. He was a prophet of God and that’s important. To have spiritual guidance apart from your knowledge within your spirit which the Holy Spirit guides you, the other person that is important in your life is your Pastor; that’s important.

Now, it is not right for a Christian to go looking round for some prophet to guide him about getting married; it’s not right to go to a Pastor which is not your Pastor, because you know it’s like going to any minister saying “I want to get married. Can you give me some spiritual guidance?” He is not expected to give you spiritual guidance, because he can show you God’s Word, but when it comes to guidance about things not necessarily given exact instruction as to this or that, for example “Do I take this job? Do I marry this woman? Do I go left or right,” things like this, you can’t just go to a Prophet or a Pastor outside and ask such questions, because these things are given to those that God has brought into your life to guide you through the Word of God on a consistent basis, not just because someone is a spiritual leader somewhere else.

Sunday, August 26, 2012

UJUMBE : LAANA YA FAMILIA pt 2 26.8.2012

Na Mch. Kiongozi: JOSEPHAT GWAJIMA

Utangulizi:
Tuliangalia wiki iliyopita kuwa Baraka zaweza kurithishwa; Mithali 13:22 na kwa namna hiyo tukaona pia kuwa kama Baraka zaweza kurithishwa basi hata laana zaweza kurithishwa; Tukaona pia wazazi wazazi wanapotenda mema, wema huo huo hupita hadi kwa wana wa wanao 2Timotheo 1:3-5 kwa namna hii tukaona kuwa imani yaweza kupita kutoka kwa baba hadi kwa mototo:

Laana ni mashetani yaliyoagizwa kuja kwenye maisha, ukoo, familia n.k yaliyotumwa kuja kusimamia tatizo Fulani; laweza kuwa kutokuzaa, vifo vya mapema, magonjwa, umaskini na matatizo. Na kama vile Roho Mtakatifu husimamia neno litimie vivyo hivyo na mashetani yanasimamia ukae kwenye tatizo hilo ili laana iendelee kukaa. Kuna aina mbalimbali za laana.

FAMILIA YAWEZA KUWA CHINI YA LAANA:
Kila unalofanya leo zuri au baya lina athari kwako na kwa watoto wako pia; Na ndio maana wana wa Israeli kwa kulijua hili, baada ya pilato kunawa mikono kuwa hausiki kumsulibisha Yesu wao wakasema damu yake iwe juu yetu na watoto wetu; Mathayo 27:24-26 Wana wa Israeli walijua kuwa kama Yesu hana hatia basi lazima laana ipite kwenye maisha yao. 1 Petro1:18 Kimsingi imani yaweza kurithishwa, kutoka kwa mzazi hadi kwa watoto. Kama wazazi wakitenda uovu, ile laana yaweza kupita katika kizazi chake KUTOKA 34:5-8, Mungu anaweza kupitiliza laana katika ukoo kwasababu ya uovu.
Na ndio maana waweza kuwaona hata viongozi wa Tanzania; unakuta baba alikuwa kiongozi serikalini na mtoto wake pia uongozi unawafuata.

MATATIZO YANAYO FANANA:
Kumbukumbu 5:7-10; Laana yaweza kusababisha familia ikawa na matatizo yanayo fanana; na ndio maana waweza kukuta kwenye familia baba alikufa maskini na mtoto naye umaskini unamfuata; laana ya familia. Yeremia 32:17-18 “wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu uovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu, aliye hodari, Bwana wa majeshi ndilo jina lake;” Biblia iko wazi kuhusu swala hili, Mungu huwalipa wazazi uovu wao kupitia wana wao, na ndio maana mataifa mengi ya kiafrika ni maskini kwasababu mataifa yapo kwenye laana kwasababu ya aidha viongozi au historia ya huko nyuma.

Kipindi cha Yoshua alikuwepo mtu mmoja anaitwa Akani, aliyeliletea taifa zima la Israeli laana; kumbe taifa laweza kuingia kwenye laana kwasababu ya mtu mmoja Yoshua 7:24 “Kisha Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamtwaa Akani, mwana wa Zera, na ile fedha, na Lile joho, na ile kabari ya dhahabu, na wanawe, na binti zake, na ng'ombe zake, na punda zake, na kondoo zake, na hema yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta juu hata bonde la Akori. Yoshua akasema, Mbona umetufadhaisha hivi? Bwana atakufadhaisha wewe leo. Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe, kisha wakawateketeza kwa moto, na kuwapiga kwa mawe.” Mtu mmoja aliingizia taifa zima laana, nchi yaweza pata laana kwasababu ya mtu mmoja.

MFANO WA NUHU NA WANAWE:
Nuhu baada ya kutoka kwenye safina akawa na watoto wake; baada ya kuishi kuna jambo likatokea la kushangaza ambalo kupitia hilo tutajifunza; Mwanzo 9:18 “Wana wa Nuhu waliotoka katika safina, ni Shemu, na Hamu, na Yafethi; na Hamu ndiye baba wa Kanaani.” Hapa tunaona kuwa Kanaani alikuwa mtoto wa Hamu; jambo la kushangaza ni kwamba Nuhu alilewa alafu akanywa kileo akalewa; akawa uchi alafu mwanaye ambaye ni Hamu akamwona akiwa uchi alafu akaenda kuwambia ndugu zake.

Lakini baada ya Nuhu kuelevuka kutoka katika ulevi, hakumlaani Hamu ambaye ndiye aliyeona lakini yeye akamlaani Kanaani, Mwanzo 9:25-26 “Akasema, Na alaaniwe Kanaani; Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake. Akasema, Na atukuzwe Bwana Mungu wa Shemu; Na Kanaani awe mtumwa wake.” Utajiuliza kwanini Mungu aruhusu kanani aliye mtoto wa Hamu kulaaniwa? Kimsingi; laana hupita katika watoto wa Hamu na ukoo wao lakini laana yao hii ilianzia kwa Hamu.

USHAHIDI WA LAANA YA KANAANI:
Kuthibitisha laana ya Kanaani tuangalie katika uzao wake; Mwanzo 10:15-20 “Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi, na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi…,” Kumbe wana wa kanaani ndio hao. Na ili kuthibitisha hili emu atuangalie maandiko yafuatayo yanaonyesha

Kupata uthibitisho wa makabila ya watoto wa Kanaani katika kitabu Kutoka 3:8,17 23:23; 33:5; Hawa wote ndio wana wa Kanaani wayebushi n.k. kumbe mtu unaweza ukaamshangaa Mungu anawambia wana wa Israeli wawafukuze hawa kumbe ni kwasababu ya laana ya Hamu iliyokuwa tangu mwanzo hili jambo ni halisi kuwa laana hupita kwenye familia na biblia haibishanii hilo.

UOVU WA MTU WA LEO NI LAANA YA FAMILIA NA UKOO WAKE KESHO:
Mambo ya nyakati 4: 10 “Huyo Yabesi akamlingana Mungu wa Israeli, akisema, Lau kwamba ungenibarikia kweli kweli, na kunizidishia hozi yangu, na mkono wako ungekuwa pamoja nami, nawe ungenilinda na uovu, ili usiwe kwa huzuni yangu! Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.” Yabesi alijua kuwa jambo baya la leo laweza kumletea kilio kesho; na hivyo akaamua kumlingana BWANA akamwomba amuondolee laana. Uovu wa mtu ni laana yake kesho, na laana hii hupita hadi kwenye familia na ukoo wake.

Zakaria 5:1-4 “Ndipo akaniambia, Hii ndiyo laana itokayo kwenda juu ya uso wa nchi yote; maana kwa hiyo kila aibaye atatolewa kama ilivyo upande mmoja, na kwa hiyo kila aapaye atatolewa kama ilivyo upande wa pili. Nitaituma itokee, asema Bwana wa majeshi, nayo itaingia katika nyumba ya mwivi, na katika nyumba yake yeye aapaye kwa uongo kwa jina langu; nayo itakaa katikati ya nyumba yake, na kuiteketeza, pamoja na boriti zake na mawe yake.” Laana yaweza kupaa kufuata familia, na ikiingia ina madhara makubwa. Jambo lolote walilotenda wazazi lina madhara kwa watoto;

MFANO WA MFALME SULEIMANI:

1Wafalme 11:1 “Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa Wasidoni, na wa Wahiti, na wa mataifa Bwana aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa kuwapenda. Akawa na wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo. Maana ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa Daudi baba yake...”

Ukiendelea kusoma hapo utaona Mfalme Suleimani alifikia kujenga madhabahu ya miungu mingine. Lakini jambo la kushangaza zaidi ni pale Mungu alipokuja kumpa hukumu akamwambia 1Wafalme 11:9-12 “Basi Bwana akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha Bwana, Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili, akamwamuru katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye hakuyashika aliyoyaamuru Bwana. Kwa hiyo Bwana akamwambia Sulemani, Kwa kuwa umefanya hayo, wala hukuyashika maagano yangu, na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme usiwe wako, nami nitampa mtumishi wako. Walakini katika siku zako sitafanya haya, kwa ajili ya Daudi baba yako; nitaurarua utoke katika mkono wa mwana wako.”

Ni jambo ambalo linaweza kuonekana ni la kawaida tu; lakini hili andiko la pili linatuonyesha kuwa wema aliotenda baba waweza kumwokoa mtoto; kwasababu ya mambo mema aliyotenda Daudi yalimfanya Suleimani kupona kutoka kwenye hukumu ya Mungu. Kumbe jambo jema laweza kuokoa familia au ukoo; vivyo hivyo laana ya mtu mwovu inaweza kupita kutoka kwa wazazi hadi kwa watoto.

WASIMAMIZI WA LAANA:
Mtu anakuwa na laana; utajiuliza kwanini laana haitoki? Tukisoma katika kitabu Luka 13:10-16 “Na huyu mwanamke, aliye wa uzao wa Ibrahimu, ambaye Shetani amemfunga miaka kumi na minane hii, haikupasa afunguliwe kifungo hiki siku ya sabato?” Kimsingi kila laana ina pepo anayeisimamia laana hiyo; watu wangemuona miaka 18 kuwa ni mgonjwa kumbe kuna pepo. na ndio maana waweza kumwona mtu kichaa kumbe nyuma yake kuna wasimamizi wa ukichaa.

Pepo waweza kuwa ndani ya mtu au nje ya mtu ili kusimamia laana, na ndio maana waweza kumkutamtu unamwambia twende kanisani ukafunguliwe anakuwa hataki kumbe amesimamiwa na wasimamizi wa laana. Kuna wasimamizi wa kipepo kabisa kwaajili ya kusimamia laana. Na pepo hawa wakiingia ndani ya mtu wanamlazimisha kutenda mambo ya ajabu ili kuitekeleza ile laana.

Wakiwa nje yako wanaweza kukuzuia kwa kuingia ndani ya mtu anayetakiwa kukupa msaada. Vunja laana zote katika JINA LA YESU!!!

Barikiwa!!!!!!!!!!!!!
[akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani; WAKOLOSAI 2:14]

UFUFUO NA UZIMA [THE GLORY OF CHRIST (T) CHURCH]
TANGANYIKA PACKERS,
KAWE, DAR ES SALAAM.

Saturday, August 25, 2012

KUNENA KWA LUGHA:


Ukiona nzi ameweza kutua katika jiko la mkaa, basi kwa urahisi tu utajua kuwa hakuna moto juu ya jiko hilo. Vivyo hivyo kama ndani ya roho yako hamna moto wa Roho Mtakatifu lazima mapepo watafanya makazi. Ili uweze kupata moto wa Roho mtakatifu ndani yako ni lazima ujazwe Roho Mtakatifu na upate muda wa kutosha wa kuomba kwa kunena kwa lugha.

Unapojazwa Roho Mtakatitifu, huwa haingii kwenye akili, mawazo wala kwenye mwilini mwako bali huingia kwenye roho. Roho Mtakatifu anapoingia ndani huwa anafanya mawasiliano na roho yako. Wakati roho ya mwanadamu inapokuwa inafanya mawasiliano na roho mtakatifu hapo ndipo mtu huyo anajikuta ananena kwa lugha; kwahiyo kunena kwa lugha ni udhirisho kuwa roho ya mwanadamu ina fanya mawasiliano na Mungu. Na ndio maana moja ya udhihirisho kuwa umeokolewa ni kunena kwa lugha (Marko 16:17), kwasababu ukiokoka Roho Mtakatifu anaingia ndani yako.

Katika Biblia; kuna namna tatu ambazo watu walijazwa Roho Mtakatifu; kama ifuatavyo:
i)                   Kuomba mwenyewe:
Siku ya pentekoste, wanafunzi wa Yesu walikuwa wamekusanyika wakiwa wanaomba; (Matendo ya Mitume 2:1-7), kumbe namna ya kwanza ni kwa kuomba mwenyewe, yaani unakuwa unaomba alafu katikati ya maombi Roho Mtakatifu anakuja ndani mwako na hapo unaanza kunena kwa lugha.

ii)                Kuwekewa mikono:
Namna ya pili ya mtu kupokea Roho Mtakatifu kwenye Biblia ni kwa kuwekewa mikono, tunaona katika (Matendo ya Mitume 19:6), Paulo aliwawekea mikono, na alipowawekea wote wakanena kwa lugha, kumbe mtu anaweza kujazwa Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono na mtumishi wa Mungu.

iii)              Kulisikia neno la Mungu linapohubiriwa:
Namna nyingine ni kwa kusikiliza neno la BWANA; (Matendo ya Mitume 10:44), hapa tunaona Roho Mtakatifu amewashukia watu wakati Petro alipokuwa akiongea, kumbe unaweza kupokea Roho Mtakatifu kwa kusikiliza neno la Mungu, (Ezekieli 2:2); Mungu aliposema naye Roho ikamwingia, ni kwa kusikiliza neno la Mungu.

Kuna vizuizi vinavyoweza kumzuia mtu asinene kwa lugha; Adui wakuu watatu wanaomfanya mtu asinene kwa Lugha:
i)                   Ujasiri:
Roho mtakatifu ni Roho wa ujasiri, kwa hiyo unapoomba unatakiwa uombe kwa ujasiri. Unapokosa ujasiri wakati kuomba, Roho mtakatifu hawezi kuingia (1Timotheo 1:7), Roho mtakatifu si roho wa kusitasita wala woga bali ujasiri. Mtu aweza kushindwa kunena kwa lugha kwasababu ya kukosa ujasiri.

ii)                Mapokeo:
Maarifa uliyoyapokea zamani yanaweza kukuzuia kunena kwa lugha kwasababu inawezekana kabla ya kuokoka mtu alikuwa ametokea katika dhehebu ambalo halineni kwa lugha, nalo linaweza kuwa kikwazo, (Marko 7:8), maarifa ni jambo muhimu sana kwenye maendeleo ya mtu, unapokosa maarifa sahihi ya neno la Mungu Roho Mtakatifu hawezi kuingia ndani yako.

iii)              Hofu:
hofu inaweza kukufanya ushindwe kupokea Roho Mtakatifu kwasababu ya kuogopa watu watakuonaje, unawaza ukianza kuongea maneno yale watahisije, (Waebrania 10:38) hofu ni adui mkubwa wa kunena kwa lugha kwasababu inakuzuia kujiachia mbele za Mungu.

Kunena kwa lugha ni njia mojawapo ya kufunguliwa kutoka katika vifungo vya rohoni kwasababu unaponena kwa lugha, kimsingi; roho yako inakuwa inawasiliana na Roho Mtakatifu. Na ndio maana nguvu za mtu za rohoni zinategemeana sana na muda anaotumia kunena kwa lugha; kama ukinena kwa lugha kwa saa moja basi utakuwa na upako wa saa moja. Nena kwa lugha muda wa kutosha.

Limetolewa kwenye moja ya masomo ya Mch. Josephat Gwajima:

Thursday, August 23, 2012

CHANGE NOW – HOW?


Every person you meet today wants to change their life in some way. But many find it so difficult to do so. Let me encourage you with these words of T.B. Joshua who says, “God never created anyone He cannot change”. Yes, Jesus Christ can change anyone, anywhere at any time. Ask Saul who became Apostle Paul and he will tell you that with God’s help – you can. Ask Peter the fisherman who became a fisher of men and he will tell you that to God’s power nothing is impossible but God does nothing without His Word.
His Word is the instrument, the means, the tool for the Holy Spirit to use to bring His healing, delivering and transformative power to the scene. Letting the Word have right of way in your life is letting Christ have right of way. I mean, giving the Word its place is giving Christ His position of Lordship. What is His rightful place? Matthew 22:37-38 – “... ‘Love the Lord your God with all your heart and with all your soul and with all your mind.’ This is the first and greatest commandment.

ooooOh! God Protects us!!!! be motivated!!

Rainy day, Mother went to pick up her 4 years old daughter from
school. She was worried thinking that she'll fear the lightning.
On her way she found her smiling at sky for every lighting...
she asked why are you
smiling?
Baby: Mumma... GOD is taking my picture and i need to look good naa...!! aww..

LETS PRAY
We thank you, Ooh Lord for protecting us this day.
As the baby has hope that you are taking picture,
we also hope that you picture our life, and make it good and bright as lightening.
In
Jesus Name
we do pray and believe.
Amen

TEACHING STORY : Learn to respect others..

A crippled man was arrested in suspection of stealing a big refrigrator.
On judgement day a Judge from High Court said, "apon looking at you, i have seen that you cant be a thief due to your walking disability.
So, since they have disgraced you and your CV has been distroyed i order you to take this refrigrator to be yours from today.
Let it be your compalsation".
The crippled man thanked the Judge and with joy he jumped down from his hand bicycle.
He crawled and took the refrigrator by the back going home.
After he crawled about ten metres,
the Judge said, "you have successfully shown us that you are indeed a thief.
Now you are jailed for two years imprisonment with hard labour."

MORAL LESSON:
Never judge that something cannot be done by certain people because of how they look, behave, smile or do things.

NOTE:
Our faces are closer to God, He knows who is who.
Do the right thing because the LORD is watching you!
Always ask for forgiveness from God whenever you Sin against him.

Respect others...

Pastor Chris Oyakhilome speaketh on ADDICTIONS

Question 3 – Daminabo (Nigeria): Sir, how do I get over my addictions? I have tried speaking to them but I am still tempted to do the same things. What should I do?

Answer 3: You’re not supposed to be talking or speaking to your addictions. You’re supposed to be speaking to yourself, not to your addictions; so, there’s where you were wrong. You can talk to your addictions all year long and nothing will change. You talk to yourself. Now, why that is very important, Proverbs 25: 28 “He that hath no rule over his own spirit is like a city that is broken down, and without walls.” You see, the man who has no rule over his spirit, who has no control over his spirit, is like a city that is broken down and without walls, which means ‘anything goes.’ It means anything can come in – the enemy can come into that city because the walls of the city are broken down. He that has no rule over his spirit, his own spirit, is like a city that is broken down and without walls. That’s terrible, and what’s he saying? You’ve got to have rule over your spirit, you’ve got to have control over your spirit, and you’ve got to have mastery over your spirit – that’s what his telling you.

And really, if you would study from the Bible, 2 Peter, over in the New Testament, 2 Peter Chapter 1 from verse 5: “And beside this, giving all diligence, add to your faith virtue; and to virtue knowledge; And to knowledge temperance; and to temperance patience; and to patience godliness; [I want you to notice in that verse 6 the word ‘temperance’ because I am going to go back in there] And to godliness brotherly kindness; and to brotherly kindness charity (Love). For if these things be in you, and abound, [That means, if they are in you in increasing measure and they remain there, he says], they make you that ye shall neither be barren nor unfruitful in the knowledge of our Lord Jesus Christ.” Then he says in verse 9: “But he that lacketh these things is blind, and cannot see afar off, and hath forgotten that he was purged from his old sins.” [2 Peter 1:5-9] The 6th verse says “And to knowledge temperance”’ He says to you, add temperance to your life – add to your faith. When you come to Christ, you have faith; faith is given to you through the gospel. The bible says that He has given to us “the measure of faith” [Romans 12:3]. So, you receive that faith when you receive the gospel. Now he says “add to your faith virtue, and to virtue knowledge; and to knowledge temperance.” You are the one to add it!
Temperance is from the Greek word, ‘egkrateia’. It means self-control; it means ‘holding yourself back,’ the ability to restrain yourself, self-restraint, self-control. Just like what we read in Proverbs Chapter 25 verse 28, where it says the man who doesn’t have rule over his on spirit is like a city that’s broken down without walls. So, you’ve got to have rule over your spirit; you’ve got to have self-control. So, that’s what it’s talking about here.
So, you must do something. You’re not going to be talking to your addictions; you’re going to be talking to yourself. You’re going to be talking to your own spirit. You’re going to be saying to yourself – “I will not do this” and when you say [that], because you have control over yourself, you’re not going to do it. So, gain the mastery over yourself. If you lose control over yourself, you’ve got a problem. It means the city’s broken down. And the beautiful thing about this is, when you receive Christ into your life, your spirit is enabled with certain qualities, and I want to read those qualities to you. Remember what we read about temperance.

So, we go over to Galatians Chapter number 5, I’m reading to you from the 22nd verse, “But the fruit of the Spirit,” this is the recreated human spirit, the born again spirit. He says “But the fruit of the Spirit is love:” the fruit – that means it’s there, it’s the product of the spirit; it’s the work of the Spirit. In the 19th verse it says “Now the works of the flesh are manifest,” and it gives us the works of the flesh which means the fruits of the flesh. Then, he comes over to verse 22 and tells us of the spirit, because it’s a comparison of the spirit and the flesh. So, he comes over to verse 22 and says “But the fruit of the Spirit is love, joy, peace, longsuffering, gentleness, goodness, faith, [verse 23] meekness, temperance: against such there is no law.” [Galatians 5:22-23] Temperance – self-control – which means you’ve got it in your spirit. You cannot say “I have no rule over my spirit, I have no self-control, I can’t do this” No, no no. You can, because you’re born again. If you’re born again, he says “the fruit of the spirit is” and he tells you all of them; they’re all in there, in you – it’s a product of your spirit.

So, you say this “I have self-control and I’m going to put it to work. I have temperance and I’m going to put it to work. I can rule over my own spirit and I’m going to do it. ” So, that’s the talking you’re supposed to do, not to talk to the addictions but to your own spirit.

source: http://www.pastorchrisonline.org/topicalblog/qatranscripts/2010/08/19/episode-3-part-1-question-3-on-addictions/

NOLLYWOOD ACTRESS TONTO DIKEH DELIVERED FROM CHAIN SMOKING ADDICTION THROUGH EMMANUEL TV!

« 34 YEARS OF SMOKING AND DRINKING STOPPED!
Tonto Dikeh

One of Nollywood’s rising actresses, Tonto Dikeh, revealed in an interview that she was delivered from an addiction to smoking through praying along with Prophet T.B. Joshua on Emmanuel TV. Glory be to God!

According to Tonto, who started smoking at the tender age of 13, she joined Prophet T.B. Joshua to pray on Emmanuel TV and received the miracle in a way she never expected.

She told a Nigerian entertainment magazine, “I didn’t quit smoking by myself. I was watching a program on TV with Prophet T.B. Joshua and he was laying hands on people and praying for them. I love to watch his programs on Emmanuel TV. When he was praying, he said, ‘Lay your hands on the TV’ and I just laid my hands that day. I actually needed something else from God, not to quit smoking because I loved smoking! However, after praying I sat back and I think I slept off.”

After the prayer, Tonto woke up and attempted to smoke as usual, only to discover that the very habit that had been part of her for 14 years suddenly became revolting. “When I woke up, I took a stick of cigarette and I felt crazy. I couldn’t even imagine that I took it up to smoke in the first place. It felt like poison!”

We thank God for setting her free from this spirit of smoking and pray God would continue to strengthen her desire and determination to serve Him, in Jesus’ name.

Remember, when you acknowledge God as your Healer, Deliverer and Redeemer, HE will do it again and again!


source : http://distanceisnotabarrier.wordpress.com/2012/08/22/nollywood-actress-tonto-dikeh-delivered-from-chain-smoking-addiction-through-emmanuel-tv/

Sunday, August 19, 2012

UJUMBE: LAANA YA FAMILIA




Na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima 19.8.2012

Utangulizi: 

Biblia inasema Mtu mwema huacha akiba kwa wana wa wanawe, kumbe mtu mwema huwa anaacha urithi kwa wanawe na wana wa wanawe, yaani Baraka za wema wake zinaweza kufikia hadi kwenye kizazi cha wanawe; kimsingi ni ukoo wake. Jambo hili ni bayana; kwahivyo kama laana zaweza kupita hadi kwa wana wa wana, hata laana nazo zinaweza kupita kwa namna hiyo. hiyo kuna familia ukiziona, unaweza kubaini kirahisi kuwa zinatembea ndani ya laana. Kwahiyo leo tutagusa laana ya familia

BARAKA ZAWEZA KUINGIA KATIKA FAMILIA:
Biblia inasema Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi;  Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki. MITHALI 13:22, hili andiko linaonyesha kuwa Baraka yaweza kusafiri kutoka kwa mtu mwema hadi kwenye ukoo wake.  Hivyo unachotenda leo ni matokeo ya baadaye ya kwenye familia au ukoo wako. jambo hili; pia imeandikwa, Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;1Petro 1:18, wazazi wanaweza kumletea mtu mwenendo usiofaa, hivyo unaweza ukamuona mtu anamwenendo usiofaa kumbe ameurithi amerithi kutoka kwa wazazi/ mfano mama alikuwa kahaba na mototo naye ni kahabba; baba alikuwa maskini na motto naye ni maskini. Hili jambo liko wazi kwenye biblia.

MIFANO YA BARAKA AU LAANA:
Ukiangalia kwenye Biblia; kila jambo baya alilolifanya mtu lazima lilikuja kuleta madhara kwa mwanawe au wana wa wanawe. Mfano; Mfalme Sauli katika ufalme wake alitenda yaliyo maovu mbele za Bwana, hivyo wanawe wakashindwa kurithi ufalme, ingawa alikuwa na wana kama Yonathani ambao wangeweza kurithi lakini kwasababu ya ile laana ya baba yao sauli hawaweza kurithi. Hivyo laana zaweza kupita kutoka kwa babu au baba na kuja  kwenye maisha yako, kama babu au bibi alionea watu miaka hiyo hata kama watoto wake hawajui chochote laana inatembea hadi kwao.

Na ndio maana watumishi wa Mungu wengi unaowaona wanatenda kiurahisi kwenye huduma mara nyingi huwa kuna historia ya babu au baba au mtu kwenye ukoo aliyekuwa mchungaji; Mkimwona mtumishi wa Mungu TD Jakes, na yote yale anayotenda, katika historia yake baba yake alikuwa mchungaji na kanisa alirithi kutoka kwa baba yake hivyo ile Baraka ya uchungaji wa baba yake inapita hadi kwa motto na anafanikiwa kwenye huduma.  Hivyo Baraka pia zaweza kupita kutoka kwa baba na kuingia kwa wanawe au familia.

 Imeandikwa, “nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika bibi yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.  1Timotheo  1:3; kumbe imani yaweza kurithishwa; kuna imani tofauti duniani lakini kumbe nazo zinaweza kurithishwa, yaani mama mcha Mungu anakuwa na watoto wachamungu au mama mchawi anakuwa na watoto wachawi, laana ya uchawi hupita hadi kwa watoto na ndio huo ndio wanaita mkoba. Hivyo kuna Baraka inayotembea ndani ya familia na laana inayotembea ndani ya familia.

MUNGU ALIPOTAKA KUMBARIKI ABRAHAMU, ALIMTENGA KWANZA:
Abrahamu alikuwa anaishi katika huru ya Wakaldayo, na Wakaldayo kwa asili walikuwa hawamwabudu Mungu wa mbinguni wao walikuwa wanaabadu sanamu. Hivyo; Mungu alijua kuwa Abrahamu asingeweza kushiriki baraka kwasababu ukoo wake hauko vizuri na kwa vile Mungu alikusudia kumbariki, ikabidi amwambie Abrahamu undoka ujitenge nao. Imeandikwa, Bwana akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;Mwanzo 12:1-2.

Kumbe, Mungu alipotaka kumbariki Abrahimu alimtenga kwanza kutoka kwenye ukoo aliokuwamo, Mungu hakuvunja kanuni yake, maana huwezi pokea Baraka usipotengwa kwanza na ukoo, huku ni kutengwa katika ulimwengu war oho na hakuna haja ya kwenda kuwambia kwamba nawatenga ndugu maana Mungu amekukusudia.hivyo ni muhimu kukataa kujiungamanisha na laana za ukoo au familia. Kwa habari ya Abrahamu tunajifunza kuwa,  mtu yoyote akitaka kupokea Baraka kutoka kwa BWANA ni lazima utengwe na laana za ukoo.

LAANA INAWEZA KUIFUATA FAMILIA:
Kama tulivyoona Baraka zaweza kupita kutoka kwa babu au bibi na kufika kwa wanawe na hata wana wa wanawe,  na ndio maana biblia inasema kwa habari ya sanamu, Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, Kumbukumbu 5:9, Mungu hupitisha laana kwa watu waovu, hili jambo liko wazi kwenye biblia. Wana theologia wakawaida wanahesabu kuwa kizazi kimoja ni miaka 70 hadi 80, lakini kwa kawaida wastani wa maisha inatofautiana nchi hadi nchi, kwa Tanzania ni miaka 45 lakini japani ni watu wanaishi hadi miaka mia na thelathini, hivyo utaona kuwa laana ya Tanzania ni kubwa zaidi.

Na ndio maana biblia inasema utajenga nyumba halafu hutakaa maana yake siku za kuishi zinapungua kiasi cha kushindwa kukaa kwenye nyumba uliyojenga, hiyo ni laana.sasa laana ya kuishi muda mfupi iki[pita kwenye ukoo, Maana yake baba alikufa na miaka michache na motto naye anakufa katika umri mdogo na kadhalika wana wanawe, na wana wa wana wa wanawe. Laana ina tabia ya kutafuna, ikianza inaenda hadi kwenye maisha ya wanaukoo wako.

Tuone mfano wa agano jipya; wakati Yesu alipokuwa anaenda msalabani, wanawake walikuwa wanamlilia Yesu, Yesu akawambia walilieni wana na watoto wenu, kwanini Yesu alisema hivyo; Yesu alijua kuwa laana ya damu ya mtu mwenyehaki ni lazima ipitilize hadi kwa wana wa wanawe, hivyo akawaonya kuwa walilieni watoto wenu kwasababu ndio watako shiriki madhara yah ii laana. Biblia inasema, Yesu akawageukia, akasema, Enyi binti za Yerusalemu, msinililie mimi, bali jililieni nafsi zenu na watoto wenu.Luka 23:28

Na ndio maana hata Pilato alipoona Yesu hana hatia, wakati wa kutoa maamuzi alinawa mikono ili kujitoa kwenye laana ya ile damu, Lakini wayahudu wakamwambia tukabidhi tumuue na damu yake iwe mikononi mwetu na kwa wana wa wanetu; wayahudi walijua kuwa laana yaweza kupita kwa wanaukoo. Imeandikwa, “Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.Mathayo 27:25; Kama wangekuwa hawalijui hilo wasingesema maneno yale. Kimsingi maneno yale yalimaanisha kama mtu huyu hana hatia basi laana yake iwe juu yetu na watoto wetu.

KANUNI YA LAANA ZA FAMILIA:
Hii tunaweza kuiona katika Joshua 7:2-26, habari ya wana wa Israeli walienda vitani na kujikuta wamepigwa, lakini Joshua alivyoomba akaambiwa kuna uovu katikati yenu, kumbe mtu mmoja alisababisha laana katika nchi. Akani alisababisha wana wa Israeli kushindwa vita, Tunajifunza kuwa unaweza kuona nchi masikini kumbe kuna mtu mmoja amesababisha (Aliyesababisha umaskini wa Tanzania apigwe kwa jina la Yesu},  ingawa aliyekosea alikuwa Akani akalifanya Taifa la Mungu lote kupata laana; Imeandikwa, mstari wa 24’ Kisha Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamtwaa Akani, mwana wa Zera, na ile fedha, na Lile joho, na ile kabari ya dhahabu, na wanawe, na binti zake, na ng'ombe zake, na punda zake, na kondoo zake, na hema yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta juu hata bonde la Akori ; 26’ naye Bwana akauacha ukali wa hasira yake. Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata hivi leo 

Hapa tunaona kuwa aliyesababisha laana ile alikuwa mtu mmoja naye ni Akani lakini utajiuliza kwanini waliwachukuwa hadi watoto wake na ng’ombe na vitu vyake? emu pata picha wanawe na mkewe hata vitani hawakwenda na ng’ombe ndio hawahusiki kabisa, utasema Mungu hana huruma? Kimsingi: kanuni ya laana ni kwamba inapiga kuanzia mwenye laana hadi wanawe wote na ukoo na familia nzima. Unavyotenda haki leo unatengeneza maisha mazuri ya wanao, ukoo na hata taifa, biblia inasema, Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu  wote.Mithali 14:34. Kama haki inavyoinua taifa ndivyo laana inavyoangamiza taifa. Kama viongozi wanatumia uchawi basi lazima nchi itaingia kwenye laana na taifa kudidimia.

Kwahiyo; kanuni ya laana ya familia ni kupiga kuanzia babu, baba hadi watoto, na hapo jaribu kuchunguza maisha ya babu au bibi yako yalikuaje; alafu angalia maisha yako. Lazima utakuta uhusiano uhusiano. Kama si kwa babu kwa bibi, mama au baba au baba mkubwa lazima. Kama wazee wako walinuonea mtu na jambo lile likafanyika laana basi lazima ije hadi kwako na kama usi[poivunja itaangamiza maisha yako.

Ukisoma katika kitabu cha 2samweli 3:17-26; Hii ni habari ya Abneri alimkosea mfalme Daudi, lakini baada ya muda Abneri na Mfalme Daudi wakapatana; jambo hili halikumfurahisha Yoabu mkuu wa majeshi wa daudi, akaamua kwenda kwa siri na kumuua Abneri, na Daudi aliposikia hayo; akamtajia Laana Yoabu katika mstari wa 24’ na imwangukie Yoabu kichwani pake, na nyumba yote ya babaye, tena hiyo nyumba ya Yoabu isikose kuwa na mtu mwenye kutoka damu, au aliye na ukoma, au mwenye kutegemea fimbo, au mwenye kuanguka kwa upanga au mwenye kuhitaji chakula.” Unaona hapo huyu Yoabu ndiye aliyemkosea BWANA lakini laana yote iliwaendea na ndugu na ukoo wake. Hii ndio tafsiri ya ile laana:
·        Ukoma tafsiri yake ni mtu mwenye kupata na kupoteza. Yaani unapata alafu haidumu. Unapata kazi alafu haikai, yaani unapata na kunyanganywa hii ni laana ya familia. Kama upo katika ukoo ulio laaniwa na unatokea kwenye ukoo huo basi lazima uishiriki laana hiyo.
·        Mwenye kutegemea mti; yaani unakuwa na maisha ambayo yanategemea watu wengine, au ndugu yaani unakuwa uwezi kujitegemea ndio maana nchi za Afrika kila kukicha zinategemea msaada kutoka nje hii ni laana, sasa laana hiyo ilipita hadi kwa wanao. (dependency).
·        Anayetembea kwa kuchechemea; mtu huyu awezi kuwa na maendeleo endelevu, akifanikiwa katika jambo halidumu, kila siku anarudi palepale.. hii ni laana ya familia.
·        Mwenye kuhitaji chakula; huyu ni mtu ambaye hawezi kujitosheleza kwa mahitaji yake.  na ndio maana mtu anaweza kuwa mshahara mzuri lakini kila akipata mshahara hela haionekani inakoenda. Hii ni laana na watu wengi wanaishi kwenye laana hii bila ya wao kujua.


MAAGANO YA FAMILIA (FAMILY COVENANT): 
Kama unavyojua historia ya ukristo katika Afrika na hata katika nchi yetu ni fupi sana, yaani ukristo haukuwepo tangu zamani sana kwa hapa Afrika. hivyo kabla ya hapo wazee na mababu walikuwa wanaabudu mizimu, na koo zilikuwa na mazindiko ya ukoo. Wao walikuwa wanaita ulinzi, na ndio maana kuna nyumba ambazo akienda kama ni mchawi ananasa sio kwamba ni ya kiMungu, bali kunashetani kubwa linalo weza kumkamata mchawi asiye na nguvu. Na ndio maana koo nyingi sana ambazo ni ndogo, kubwa na maarufu zimekabidhiwa kwa shetani kwa namna hii.

Maagano haya ndio yanayoleta laana kwenye familia, kwasababu maagano haya hufanya familia kuwa chini ya shetani maana mnakuwa (familia) mmeingia mkataba na shetani. Na hapo mashetani yanakuwa yamekabidhiwa familia, na  ndio mahali shetani anahusika na maisha yako moja kwa moja. Na ukitaka kusaidiwa shetani anakuja juu kwasababu kuna mikataba. Husipoushughulikia huo mkataba huta funguliwa.

Maagano yanaweza kutokana na kupigwa chale; inawezekana ulipozaliwa mama yako alienda kwa mganga, na akapigwa chale ndipo ukapatikana wewe ile damu iliyomwagika ni uhai (Walawi 17:11), hivyo uhai wa familia unakuwa umeuzwa! Ili jambo ni halisi kabisa katika ulimwengu war oho. Unajina unapita kwenye tatizo au ugonjwa kumbe shida ni maagano ya ukoo.

MIKATABA INAYOTOKANA NA MILA:
Mila za kifamilia zaweza pia kutuingiza kwenye mikataba; ukifuatilia historia inashangaza, mfano; kwa wanyamwezi au wasukuma watu wa kanda ya ziwa wanamuita mungu wao mashala, lakini pia kwa waislamu wanatumia jina hilo Mashala yaani mungu wa rehema, wakati hupohuo huyu mungu wa wasukuma sio Mungu Jehova, ni mungu mwingine tu. Kwahiyo mila zaweza kukuweka kwenye laana. Mfano wachawi hutambika kwenye mizimu, hiyo ni mikataba ya kifamilia inayoletwa na mila, na ndio maana utawakuta wanafamilia au wanaukoo wote wanakuwa na matatizo yanayo fanana.

Mikataba hii inafungua milango kwa shetani kushambulia maisha ya watu kwenye familia hiyo. Mfano; mila ya kunyoa nywele wakati wa msiba, ushawahi kijiuliza kwanini? Historia fupi ya kunyoa nywele, hii haibishaniwa kuwa wanadamu walianza kuishi mashariki ya kati na hapo waliaanza kusambaa duniani. Na hata ustaarabu ulianzia hapo, watu wa Mesopotamia (Iraq ya leo) walikuwa wanaamini mtu akifa anaenda katika ulimwengu wa wafu (sheol) na walipokuwa wakinyoa nywele walisema “nitakuja pale pale unapokwenda”  yaani huko alipo. Na hapo walinyoa nywele kama ishara kuwa lazima niende pale ndugu yangu alipokwenda, utajiuliza imeingiaje kwetu?: kupitia ya historia ya kawaida waarabu walianza kusambaa kutoka Iraq na kupitia Misri, Somalia hadi kufika Arusha kwa wamburu na ndio maana asili ya wamburu ni Iraq. Hivyo kutoka hapo wakasambaza mila ya kunyoa nywele mtu akifa; lakini kwa asili hiyo ndio maana yake.

Hivyo kunyoa nywele ni jambo la kimila na maana yake sahihi, ni pale alipokufa, alipoenda, yanayompata marehemu na mimi vilevile, ukili wa maneno haya ndio unadhihirishwa kwa kunyoa nywele; hivyo huo ni mkataba kabisa na unampa nafasi shetani kuingia kwenye ukoo; biblia inasema “wala msimpe ibilisi nafasi” Waefeso 4:27. Kitu kingine ni mila ya kisusio Kumbukumbu 12:23; Matendo 15:20 bali tuwaandikie kwamba wajiepushe na unajisi wa sanamu, na uasherati, na nyama zilizosongolewa, na damu. BIBLIA imekataza kula nyama pamoja na damu yake, na hili limekatazwa katika agano jipya na la kale; kula vitu hivyo vya kimila ni kujiweka kwenye mikataba bila kujua, damu ni uhai kwahiyo unapokula nyama pamoja na uhai wake ni kujiweka katika maagano ya kimila hivyo kuleta laana kwenye ukoo wako.

LAANA YA MTOTO WA DAWA:
Katika biblia tunajifunza pale mtu alipokosa mototo kwa muda mrefu, alikuwa anajikita kuomba hadi Mungu atakapo mpa mtoto, tunaona kwa habari ya Hana muona Hana alikuwa hana mototo akawa anakwenda kuomba shilo, na Mungu akamsikia (1Samweli 1), tatizo au mkataba unakuja pale wazazi wanapoenda kwa mganga wa kienyeji ili ku[pata motto; na inawezekana wewe ulipatikana kwa njia hiyo bila kuju. Kwahiyo kimsingi unakuwa umezaliwa lakini chini ya mikataba ya shetani, kwasababu ndio alisababisha uzaliwe; na watoto wengi wamezaliwa kwa njia hiyo inakuwa ni laana ya familia. Kwahiyo mtu akizaliwa kwa dawa na watoto wake watakuwa chini ya mkataba huo, sasa jiulize unajuaje kama wewe hukuzaliwa kwa dawa; utasema niliambiwa hivyo; haya aliyekuzaa unajuaje kama hakuzaliwa kwa dawa? Hii ni laana inayotafana maisha ya watu.

KUHIFADHI KITOVU CHA MTOTO:
Kuhifadhi kitovu cha mtoto; kuna baadhi ya mama wakipata watoto wao huwa wanahifadhi kitovu mahali, aidha kwa kuelekezwa na mganga au matakwa ya mila. Na maranyingi bibi wa watoto ndio wanao chukua kitovu hiko. Kwahiyo; kama ulifanyiwa hivyo maisha yako yanakuwa yanafatiliwa na shetani, kwasababu anakitovu chako; na watu wengi wanaishi kwenye vifungo bila kujua kwasababu utotoni, walifanyiwa ivyo bila ya wao kujua. Kile kitovu ni ushahidi wako maana kina seli hai zako na genes zako hivyo wanaweza kudhibiti ukuaji wako kwa njia hiyo. Vunja laana za ukoo na familia kwa Jina La Yesu.

WOKOVU KAMILI:
Unapookoka unakuwa umezaliwa na Mungu. Lakini ili upate wokovu kamili unatakiwa ufunguliwe nafsi, mwili na roho; roho yako  iende mbinguni, nafsi ijae  neno na mwili wako uponywe magonjwa, tabu na laana. Kuokoka sio kuwa maskini, na ndio maana Yesu alimwambia Petro maneno haya Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.Mathayo 19:29.

Watu wengine hufikiri kwasababu hawapagawi mapepo basi hawapo kwenye laana. Kuna wakati wengine shetani sio lazima aingie ndani yako ili upagawe pepo. na ndio maana biblia inasema, “Kisha akanionyesha Yoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa Bwana, na Shetani amesimama mkono wake wa kuume ili kushindana naye. Shetani hakuwa ndani ya Kuhani Joshua; lakini aliweza kushindana naye; hivyo kuna mtu hapagawi mapepo lakini shetani anashindana kutokea nje. Pia ukisoma katika Matendo 13:8; kumbe, shetani aweza kufanya vita na wewe akiwa nje. Inachokifanya; unapokwenda kuomba kazi mahali anamwingia Yule anayetakiwa akupe kazi, au unaomba viza anamwingia yule mtoa viza ili hasikupe viza;  Hapo mtu anakuwa halipuki pepo lakini yupo kwenye kifungo cha laana ya familia

Kumbe ukiokoka unatakiwa utoke kwenye laana za ukoo, utajiri ni haki yetu, uhuru ni haki yetu; lakini Maisha ya watu wengi yameingizwa kwenye mikataba. Usipoivunja mikataba uwezi kupata ushindi kamili kwenye maisha yako; Watu wengi huwaza kuwa unapookoka mikataba inakatika yenyewe automatically, si kweli bali kuokoka ni kupokea mamlaka ya kukuwezesha kuivunja mikataba hiyo; lakini usipoivunja bado inaendelea kuwepo.

Biblia inasema, Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.Luka 10:19 .. unapookoka unapewa mamlaka ya kukanyaga nyoka, kimsingi usipokanyaga hawawezi kutoka kwenye maisha yako, hivyo ili upokee mafanikio unatakiwa usimame kuvunja laana za familia na ukoo. Tumia jina la Yesu kila wakati (Yohana 14:13,14). hatuombi kwa kutumia jina jingine lolote bali tunatumia jina la Yesu.

Watu wengi huwa wanasubiri kuombewa; bila kujua kuwa wana mamlaka ndani yao. Si vibaya kuombewa na biblia inaruhusu lakini pia kuna wakati unapitia hakuna wa kukuombea hivyo inabidi ujue kutumia mamlaka uliyo nayo. Paulo anasema vita amevipiga mwendo amemaliza, kumbe kabla ya kumaliza mwendo kuna kuvipiga vita; Huwezi kumiliki bila kupigana  Waefeso 6:12.  Mungu akubariki sana…. 

{UTAIFAHAMU KWELI NAYO KWELI ITAKUWEKA HURU: YOHANA 8:32}